Showing posts with label Wa-Tanzania /Mitindo. Show all posts
Showing posts with label Wa-Tanzania /Mitindo. Show all posts

Thursday, 30 January 2014

Mitindo Africa,Leo Tupo Kigoma Tanzania na Fundi Khamiss!!!!





Waungwana,Mitindo Afrika Leo Tupo Kigoma kwa Fundi Khamiss,Yeye ni Mshonaji na Mbunifu,Hizo ni baadhi ya kazi zake.
Haya tumuunge mkono. Unaweza kuwasiliana naye kupitia:Email;Khamiss@gmail.com,Simu,+255 714481790.

Wednesday, 21 August 2013

Mitindo Africa;Ubunifu wa Wa -Tanzazia!!!!




Waungwana Kwetu ni Kuzuri na kuna mambo Mazuri..
Pendeza Ki-Afrika.
Kama umependezwa na chochote usisite kuwasiliana nami;
Email,rasca@hotmail.co.uk
Mob;+44 750 44 100 40.

Karibuni Sana.

Saturday, 3 August 2013

Wa-Tanzania na Mitindo ya Asili;Ushindi African Fashion!!!!!!


Mmmhhh Hakika inapendeza sana..
Haya Waungwana hawa si wengine ni "Ushindi African Fashion[UAF]"Ni wauzaji wa vitu vya Asili..Mavazi,Vikapu,Bangiri,Herin, Shanga za aina zooote mpaka za Kiuno....
Kampuni inayoendeshwa na da'Vick-Ruth..Pata kitu Roho inapenda!!!!

Thursday, 20 December 2012

Saturday, 10 November 2012

Wa-Tanzania na Mitindo ni da'Subira Wahule wa S&W!!!!!!!!






Ni dada mdogo wa ki-Tanzania ni Mbunifu na Mshonaji mzuri..hizi ni Baadhi ya Kazi zake.....Kujua Meeengi kuhusu da'Subira ingia;http://subirawahure.blogspot.co.uk/