Wednesday 21 August 2013

Mitindo Africa;Ubunifu wa Wa -Tanzazia!!!!




Waungwana Kwetu ni Kuzuri na kuna mambo Mazuri..
Pendeza Ki-Afrika.
Kama umependezwa na chochote usisite kuwasiliana nami;
Email,rasca@hotmail.co.uk
Mob;+44 750 44 100 40.

Karibuni Sana.

Saturday 3 August 2013

Wa-Tanzania na Mitindo ya Asili;Ushindi African Fashion!!!!!!


Mmmhhh Hakika inapendeza sana..
Haya Waungwana hawa si wengine ni "Ushindi African Fashion[UAF]"Ni wauzaji wa vitu vya Asili..Mavazi,Vikapu,Bangiri,Herin, Shanga za aina zooote mpaka za Kiuno....
Kampuni inayoendeshwa na da'Vick-Ruth..Pata kitu Roho inapenda!!!!