Saturday 3 August 2013

Wa-Tanzania na Mitindo ya Asili;Ushindi African Fashion!!!!!!


Mmmhhh Hakika inapendeza sana..
Haya Waungwana hawa si wengine ni "Ushindi African Fashion[UAF]"Ni wauzaji wa vitu vya Asili..Mavazi,Vikapu,Bangiri,Herin, Shanga za aina zooote mpaka za Kiuno....
Kampuni inayoendeshwa na da'Vick-Ruth..Pata kitu Roho inapenda!!!!

No comments: