Monday 2 September 2013

Mitindo Africa..Kitenge kinavyo fanya kazi na Wabunifu wa Afrika!!!

Waungwana;Kitenge,Kitenge,Kitengee..Kimechukua nafasi kubwa sana kwa sasa..ni msaaada mkubwa sana,unaweza tengeneza vitu viingi sana..si kubebea watoto,Kujitwishia mzigo,kujifunga, Tuuu..Endelea...








Unasemaje kuhusu kitenge?